a
Isa 15:2
;
Za 143:4
1 Kings 9:3
3
a
Bwana
akamwambia:
“Nimesikia dua na maombi uliyofanya mbele zangu, nimeliweka wakfu Hekalu hili ambalo umelijenga, kwa kuweka Jina langu humo milele. Macho yangu na moyo wangu utakuwa humo siku zote.
Copyright information for
SwhNEN